Friday, July 10, 2015

NCHIMBI ATANGAZA VITA NA MAAMUZI YA KAMATI KUU CCM





HALI SI SHWARI NDANI YA KIKAO   NCHIMBI AJA JUU ASEMA HAWAKUBALIANI NA MAAMUZI YA KUMUENGUA LOWASA..ASEMA YEYE, KIMBISA NA SOPHIA SIMBA WATAKWENDA KUWAMBIA WAJUMBE WAO KWAMBA HAWATAKUBALIANA NA MAAMUZI YA KIKAO HICHO KWANI KINA MALENGO Y KUMKATAA MTU ANAYE PENDWA NA WENGI BILA YA SABABU YEYOTE NA KUWALETEA MAJINA MATATU WALIYO KWISHA YACHUKUA WAO..HATA HIVYO ALIGOMA KUYATAJA MAJINA HAYO AKISEMA HAYO MAJINA YATATAJWA NA NAPE AMBAYE NDIYE MSEMAJI WA CCM. 

'Nape katoka na kutangaza majina bado yanafanyiwa kazi.  Yatarudishwa kesho saa 4 White House kwenye kikao cha  Halmashauri Kuu. 
John Nchimbi
Sophia Simba
Adam Kimbisa
Wametoka na kutoa tamko kwamba hawakubaliani na maamuzi ya wajumbe wenzao. 
Wanasema majina waliyoletewa ni baadhi tu.  
 Hawajataka kuzungumza zaidi'

Nape katoka na kutangaza majina bado yanafanyiwa kazi. Yatarudishwa kesho saa 4 White House kwenye kikao cha Halmashauri Kuu. John Nchimbi, Sophia Simba, Adam Kimbisa
Wametoka na kutoa tamko kwamba hawakubaliani na maamuzi ya wajumbe wenzao. 
Wanasema majina waliyoletewa ni baadhi tu. 
Hawajataka kuzungumza zaidi

Hata hivyo Dr. Nchimbi alionekana ni mwenye jazba kubwa jambo linalodhihirisha kuwa alikuwa na mgombea wake, ambaye hakupitishwa na Kikao cha Kamati Kuu kuingia 5 bora. Kutokana na ratiba ilivyo, kikao cha Halmashauri kuu na Mkutano Mkuu wa CCM kuanza kufanyika asubuhi hii, jambo linaloweka ugumu wagombea wasioridhika na maauzi hayo kukata rufaa na kuzingatiwa katika vikao hivyo vya juu vya maamuzi.

                                 Tazama video hapa >>>>>>>>>>>>>>>








No comments:

Post a Comment