Sunday, September 27, 2015

N'HUNGA AZIDI KUIHAKIKISHIA USHINDI KWA CCM JIMBO LA MWERA ZANZIBAR

N'HUNGA AZIDI KUHAKIKISHA USHINDI KWA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)


Mgombea Uwakilishi jimbo la Mwera akielezea utekelezaji wa Ilani na mpango mkakati unaolenga kuharakisha maendeleo kwa wananchi jimboni hapo.


Wagombea nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani jimbo la Mwera wakifanya dua maalum kuomba amani muda mfupi kabla ya kuanza mkutano wa kampeni uliofanyika katika tawi la CCM la Mwera.
Diwani wa WADI ya Mwera Bi Shani akimnadi mgombea Uwakilishi Bw. Mihayo N'hunga wakati wa mkutano wa kampeni hizo katika viwanja vya Tawi la CCM Mwera mapema leo. 

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM mkoa wa Mbeya Bi. Fatma akiwatambulisha na kuwanadi wagombea wa nafasi mbalimbali jimbo la mwera wakati wa kampeni hizo.

Bw. Mihayo N'hunga akimtambulisha na kumuombea kura mgombea Udiwani wa Wadi ya Kianga Bw. Seleman Abbas (Gobo) katika kampeni hizo.

Mgombea Ubunge Bw. Makame Khamis akiwa na mgombea Uwakilishi Bw. Mihayo N'hunga wakifuatilia kwa karibu mchakato wa kampeni hizo tawi la CCM mwera.



Diwani wa Wadi ya Mwera anayetetea nafasi yake katika uchaguzi mkuu mwaka huu Bi ShanI Omary Mbena akielezea mafanikio ya utekelezaji wa CCM na matarajio ya utekelezaji katika miaka mitano ijayo.





Baadhi ya wananchi wa jimbo la mwera waliojitokeza kusikiliza na kuwaunga mkono wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu. Kwa makini wakimsikiliza Mihayo N'hunga akielezea namna maendeleo ya kiuchumi na kwa vijana yatakavyo fikiwa. 


Baadhi ya wananchi wa jimbo la mwera waliojitokeza kusikiliza na kuwaunga mkono wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu. Kwa makini wakimsikiliza Mihayo N'hunga akielezea namna maendeleo ya kiuchumi na kwa vijana yatakavyo fikiwa

No comments:

Post a Comment