Saturday, July 11, 2015

MFAHAMU MAGUFULI KWA UBORA WA UTENDAJI WAKE


Dk. John Pombe Magufuli

Dk. John Pombe Joseph Magufuli, alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato – wakati huo ikiwa Mkoa wa Kagera (sasa Mkoa wa Geita).
Ana Shahada ya Uzamivu ya Kemia (2006 – 2009) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwaka 1991 – 1994, alisoma Shahada ya Uzamili (Kemia) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, na baadaye Chuo Kikuu cha Salfordnchini Uingereza.
Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanzaya Elimu katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.
Mwaka 1981 – 1982, alisoma diploma katika Chuo cha Mkwawa akichukua masomo ya Kemia na Hisabati.
Mwaka 1979 – 1981, alipata elimu ya juu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Mkwawa, Iringa.
Mwaka 1977 – 1978, alisoma elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Lake, Mwanza.
Mwaka 1975 – 1977, alisoma Shule ya Msingi Katoke, Biharamulo mkoani Kagera.
Mwaka 1967 – 1974, alisoma Shule ya Msingi, Chato.
Mafunzo
Machi 1984 – Juni 1984 alihudhuria mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mpwapwa mkoani Dodoma.
Januari 1984 – Machi 1984 alikuwa JKT Makuyuni, Arusha.
Julai 1983 – Desemba 1983 alikuwa JKT Makutupora, Dodoma.
Uzoefu wa kazi
Mwaka 2010 – hadi sasa: Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Chato.
Mwaka 2008 – 2010: Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Samaki; Mbunge wa Biharamulo Mashariki (Chato).
Mwaka 2005 – 2008: Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; na Mbunge wa Biharamulo Mashariki (Chato)
Mwaka 2000 – 2005: Waziri wa Ujenzi, na Mbunge wa Biharamulo Mashariki.
Mwaka 1995 – 2000: Naibu Waziri wa Ujenzi; na Mbunge wa Biharamulo Mashariki.
Mwaka 1989 – 1995: Mkemia Chama cha Ushirika cha Nyanza Cooperative Union (Ltd.), Mwanza.
Mwaka 1982 – 1983: Mwalimu Shule ya Sekondari Sengerema (akifundisha masomo ya Kemia na Hisabati).

Dk. Magufuli amepata tuzo mbalimbali za ndani na nje ya nchi.
Ameshiriki na kuongoza mikutano mingi ya kitaifa na kimataifa.
Ameandika vitabu na majarida mbalimbali. Ameoa na ana watoto kadhaa.
GENERAL
SalutationHon.Member picture
First Name:Dr. John
Middle Name:Pombe Joseph
Last Name:Magufuli
Member Type:Elected Member
Constituent:Chato
Political Party:Chama Cha Mapinduzi
Office Location:P.O. Box 9144, Dar es Salaam
Office Phone:+255 713 322 272/+255 754 292 580Office Fax:+ 255 22 2124505
Office E-mail:jmagufuli@parliament.go.tz
Member Status:Active
Date of Birth29 October 1959
EDUCATION
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Chato Primary SchoolCPEE19671984Primary School
Katoke Seminary Biharamulo, KageraCSEE19751977Secondary School
Mkwawa High SchoolACSEE19791981Secondary School
Lake Secondary School ¿ MwanzaCSEE19771978Secondary School
Mkwawa College of EducationDiploma in Education (Sc.) Chem., Maths&Edu.19811982Diploma
University of Dar es SalaamB.Sc Ed. (Hons) Chem.&Maths19851988Bachelor
Universities of Dar es Salaam, TZ &Salford -U.K.MSc. (Chem)19911994Masters Degree
University of Dar es Salaam.PhD (Chem)20062009PhD
EMPLOYMENT HISTORY
Company NamePositionFromTo
UN-HABITATCo-chair World Urban Forum (III)2006To Date
Ministry of Lands and Human SettlementsMinister20052/8/2008
World Road Congress (PIARC)1st Delegate20002005
Mtwara Development CorridorMember20002005
Ministry of WorksMinister20002005
Ministry of WorksDeputy Minister19952000
Tanzania Chemical SocietyMember1993Todate
Nyanza Co-operative Union(NCU) Ltd.- Mwanza.Industrial Chemist19891995
Sengerema Secondary SchoolTeacher(Chemistry and Mathematics)19821983
Ministry of Livestock and Fisheries DevelopmentMinister13/02/2008To Date
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi - CCM( Biharamulo East)Member of Parliament of Tanzania1995Todate
Chama Cha Mapinduzi - CCM


CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais kupitia chama hicho.



Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya kikao hicho, Dk. Magufuli amepita kwa kura hizo kutokana na nguvu yake dhidi ya wagombea wengine.
“Hakukuwa na namna hapa kwa kuwa, wajumbe wanaamini katika mazingira haya magumu ya upinzani Dk. Magufuli anaaminika na kukubalika nje kuliko hawa wengine,” anasema mtoa taarifa wetu ambaye toka ndani ya kamati maalum na kuongeza kwamba;
“Baada ya kutemwa Membe (Bernard Membe) kwenye NEC kila mjumbe ambaye alikuwa upande wa Lowassa (Edward Lowassa) alipumua jambo lililomrahisishia Magufuli.”
Mkutano huo umehairishwa mpaka saa nne asubuhi, ambapo ndiyo muda ambao Dk. Magufuli ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na Waziri wa Ujenzi atatangazwa rasmi kuwa mgombea wa Urais kupitia chama hicho.
Awali ndani ya ukumbi wa mkutano, kulidawa kuwepo kwa mpango wa wafuasi wa Lowassa kutaka kumpitisha Balozi Amina ili chama hicho kipate changamoto katika ‘kumuuza’ kwa wananchi ikiwa ni kulipiza kisasi kwa kukatwa mtu wao (Lowassa).
Katika Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya chama hicho, majina yaliyopitishwa yalikiwa ni Migiro, Magufuli, Balozi Amina, Membe na January Makamba.


  

No comments:

Post a Comment